Professor Jay - Piga Makofi | ||
(verse
1) Hii ni changamoto kwa vinabo na wajanja mliopo ndani ya fani. Kaa chini tafadhari, kipi tunafanya wagongwe wa zamani, Wakubwa na
watoto, wake kwa waume, ndani ya nyumba say "heloo" - helooooooooooo!!!. To the hip
to the hop yooo, mambo swadakta hakuna wakuzuia, Okey mpende
akupendae, mbusu akupendae, tapeli achana nae, KIITIKIO Piga makofi,
piga makofi Big Lawi
- piga makofi
Stuka uendako, tambua wapi ulipo, usije ukapata kichapo, hii ni fani usilete utani old school imelala kichwani, nawasabahi Kimara maskani na wote walioko rnamtoni. Ni saa za kazi, panda jahazi kama msanii milango iko wazi, HBC walifunga kazi J sasa kamwaga radhi, kwenye machozi, jasho na damu single ni bongo Dar es Salaam. Wakubwa na
watoto wameipokea kwa nidhamu, ni nderemo na vifijo yooo, piga makofi
kama nguvu unazo, ni simple X mzee wa Ngano, hakuna KIITIKIO (verse
3) Piga makofi
tafadhali, and wave like you don't care narudi fresh kwenye mstari. Mr. Zagi naendelea, toka wakati ule hadi wakati huu chelea pina chelea chelea. KIITIKIO |
||
Lyrics by Bongo Explosions | ||
© mzibo.net |